Thursday, 19 January 2017

Leo tutizame changamoto zinazokabili wafugaji wetu hapa nchini


 Changamoto zinazokabili soko la mifugo na mazao yake.
1. —Miundombinu dhaifu kama vile masoko ya mifugo na barabara za kusafiririshia mifugo na mazao yake.
2. —Udhaifu wa mfumo wa usafirishaji wa mifugo na mazao yake.
3. —Ukosefu wa taarifa za kutosha na kuaminika za masoko ya mifugo na mazao yake ndani na nje ya nchi
4. —Udhaifu wa vyama vya wafugaji ambavyo husababisha kutopatikana kwa bidhaa nyingi za kutosheleza mahitaji ya soko.
5. Uratibu duni miongoni mwa wadau wa mnyororo wa thamani wa  mifugo.
žKutokuwa na elimu na ujuzi wa ujasiriamali. 
6. žUshindani mkubwa kutoka nchi zinazouza mifugo nje ya nchi kwa masoko yaliyopo na masoko mapya;
7. žKukosa ufahamu wa mchango na fursa za ufugaji wa asili katika mtazamo wa sekta ya mifugo nchini.
8. žUwekezaji mdogo wa serikali na sekta binafsi katika sekta ya mifugo. 
9. Uratibu duni miongoni mwa wadau wa mnyororo wa thamani wa  mifugo
10.  žKutokuwa na elimu na ujuzi wa ujasiriamali
11.  žUshindani mkubwa kutoka nchi zinazouza mifugo nje ya nchi kwa masoko yaliyopo na masoko mapya; 
12. žKukosa ufahamu wa mchango na fursa za ufugaji wa asili katika mtazamo wa sekta ya mifugo nchini. 
13. žUwekezaji mdogo wa serikali na sekta binafsi katika sekta ya mifugo. 
14. Kutotekelezwa kwa sheria ya  matumizi bora ya ardhi. Hii inatokana na kukosekana kwa mipango shirikishi ya usimamizi wa matumizi bora ya ardhi katika mchakato wa kubuni, kutekeleza na kurekebisha mipango ya matumizi ya ardhi ya kijiji. 
15. žTatizo la uhaba wa nyanda za malisho, ambalo limesababisha wafugaji kuhamahama na hivyo kufanya shughuli zao bila kuzingatia matumizi bora ya ardhi. 
16. žUkosefu wa maji hasa wakati wa kiangazi. 
17. žUshindani kutoka na mazao ya mifugo kutoka nje ya nchi ambao kwa kiasi kikubwa unachangia kukatisha tamaaa wazalishaji wa ndani.
  18. Kuwepo na milipuko ya magonjwa ya mifugo. 
19. —Ulaji duni wa mazao ya mifugo kwa watanzania ambao unadumaza soko la mifugo pamoja na mazao ya mifugo nchini. 
20. —Kutokuwepo kwa miundombinu ya usindikaji, huduma mbovu, ufungashaji wa mazao ya mifugo. 
21. —Kutopatikana kwa mikopo ya kutosha na yenye masharti nafuu kwa ufugaji ikilinganishwa na mahitaji  yao. 
22. —Uhaba wa watumishi wa nyanda za malisho katika ngazi ya Halmashauri
23Uhaba wa mbegu bora za mifugo, hii imewafanya wafugaji kuendelea kuzalisha mifugo isiyokuwa na tija. 
—ASANTENI SANA
ž
ž
 
ž

0 comments:

Post a Comment